Tuesday, July 22, 2014

Haya ndio Madaraja mapya ya matokeo ya kidato cha sita 2014

Kuna alama aina saba yani A, B+, B, C, D, E na F. 

(i)  A ni Ufauli Uliojipambanua;

(ii) B+ ni Ufaulu bora sana;

(iii) B ni 
Ufaulu mzuri sana;

(iv)C ni Ufaulu mzuri;

(v) D ni Ufaulu Hafifu

(vi) E ni 
Ufaulu hafifu sana na

(vii)  F ni 
Ufaulu usioridhisha


Kulingana huu muundo mpya wa alama, uwigo wake ni kama ifuatavyo;
A 75 - 100

B+ 60 - 74
B 50- 59
C 40 - 49
D 30 - 39
E 20 - 29
F 0 - 19 


Na mfumo mpya wa madaraja ni:
3 - 7 I Ufauli Uliojipambanua

8 - 9 II Ufaulu bora sana 

10 - 13 III Ufaulu mzuri

14 - 16 IV Ufaulu Hafifu 

17 - 21 O Ufaulu usioridhisha.

Kwa kukokotoa madaraja na pointi:
A ni1,
B+ ni 2,
B ni 3,
C ni 4,
D ni 5, 
E ni 6  and
Fni 7.

Jumla ya pointi inapatikana kwa kujumlisha masomo matatu(3) yenye ufaulu bora zaidi isipokua masomo madogo(subsidiary subject) mfano General Studies na BAM.